.
..
| Kwa
mradi au ushirika ili kuwa wa jamii, ni lazima ianzie kwenye jamii, na
ni lazima iwena wanachama, na kuwa na maamuzi yake binafsi (sera na uongozi)
yanayofanya na wanachama. |
. |
Kwa
ushirika, au mradi wa nje amabao upo tu ndani ya jamii, kamwe hauwezi kusema
unamilikiwa na jamii. pia kuomba ushauri kutoka kwa viongozi wa jamii hakuufanyi
mradi kuwa wa kijamii. |
..
| kuna
tofauti kubwa kati ya mradi unaomilikiwa na jamii, na uliopo katika jamii.
(mafano
kliniki, mradi wa uzalishaji mali) hiyo ni kwamba ipo kwenye jamii. |
....... |
Kuitwa
mali ya jamii, ni sawa ushirika, ujenzi, huduma nni lazima zichaguliwe
na kuchujwa na kuongozwa na jamii nzima (sio baadhi tu ya kazi).
Cha msingi nikuwa maamuzi yote yafanyike ndani na wanajamii hapo itakuwa
ni mradi wa jamii. |
..
..
..
..
|
(Deutsch:
, English: , Français: ,
Português:
, Español:
).
|
..
––»«––
|